Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
Tunawarudisha wachezaji wetu Jangwani πππππ kuna wana Yanga mnategea kusukuma πββοΈ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole mdogo angu mpira ni haramuFT Simba 2: Yanga 3
Trust me
Cha tatu wametudhulumu [emoji7]FT' Simba 2-0 Utopwinyo
Tukutane wiki ijayo dhidi ya Mwarabu.
Nasemaje Nasemaje...maneno kidogo magoli mengi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
View attachment 2590162
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aziz K aende Ihefu kwa mkopo
Hahaha hatari sanaAna vichwa vya hatari
Muongo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mimi kama utopolo nilisema mapema leo tunakandwa. Huh
Na nyie Rivers wanawasubiria kwa hamu wawapigeni staili pendwa ya nje ndaniUsicheke sana Wydad wanaangalia hii mechi.
ππ€£π€£ nikapumzike sasa
Bahati yake ni kwa timu dhaifu, kama ameshindwa kufunga leo na Yanga haikuwa na siku nzuri basi hapo hamna kitu.FT.
Baleke hakuwa na bahati tu. Angewaumiza.
Nasikia huko bongo dar es salaam watu ni vigelegele.. nderemo...na vifijo....π₯π₯Muone bichwa lako ππππππ
Hatujinyongi wala hatunywi sumu...
Tumewaonea huruma leo, since 2019 hamjatufunga...
Kwani kulikua na unbeaten???Unbeaten ya nyokoooo
Unbeaten ya nyokoooo