Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 4,431
- 13,876
Ninafuraha sana leo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mi mwenyewe nashangaa unbeaten zinatoka wapiKwani kulikua na unbeaten???
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Rage Apewe Tuzo
Hongereni Mikia
Shida ya kibu ni ubinafsi na wenge.Akituliza kichwa ni bonge la mchezaji kwasababu tayari ana spirit ya upambanaji.Ila Kibu kapambana sana
Imeisha hiyoKwendraaaaa 🤣🤣🤸♂️
Wameloaaa wameloaaa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji2]!!!!Nataka niisikie ile kauli yao:-
"Simba Sc huwa inashinda kwenye game ndogo tu"
[emoji1]
Mna siku zenu ambazo sio leo?Bahati yake ni kwa timu dhaifu, kama ameshindwa kufunga leo na Yanga haikuwa na siku nzuri basi hapo hamna kitu.
Kwa hiyo uto huwa ina Siku yake?Bahati yake ni kwa timu dhaifu, kama ameshindwa kufunga leo na Yanga haikuwa na siku nzuri basi hapo hamna kitu.
Cheka TU kakaHaaaaa haaaa nacheka kama mazuri
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]...alisikika chura mmoja akikoroma kwenye dimbwi
🤣🤣🤣🤣🤣 duh, hii kali...alisikika chura mmoja akikoroma kwenye dimbwi