FT: Simba 2-0 Yanga | NBC PL | Benjamin Mkapa Stadium | 16.04.2023

Na kuna faulo za uongo yanga alipewa sana na mwamuzi.Hazikuwa faulo kabisaaa
 
Weka link ya utabiri
 
Shikamoo mkuu
 
Teke la mlevi huwa haliwezi kurushwa kimo cha mbuzi

Jina la mbumbumbu leo hallina makali
Linaisha vipi? Labda muache hizo tabia badala ya kusajili mchezaji unamleta kwenye uchaguzi hilo jina linaisha vipi?

Pesa za uwanja zilizokuwa zinachangwa kwa simu ziko wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…