Hamna haja Mkuu. π€£π€£Ahaaahahaa
Acha niombe msaada Kwa moderators
Hayo sasa unayasema weweHatimaye simba awa muumini wa upinde inasikitisha sana ππππππ
Hapana kaka mie ni ndoto tu hata na hivo sitamani iwe ya kweli,mie mwanayanga ujueAcha ushirikina skola
Mkuu dislikes zinachafua unao,ebu ona hapa chiniHamna aja Mkuu. π€£π€£
Kwa hiyo leo hamtapitia ule mlango wenu wa siku zote?Acha ushirikina skola
Hahahaaa! Kwa kuwa wenyewe wenye nyumba waliziona zinafaa na wewe zipokee tu Mkuu.Mkuu dislikes zinachafua unao,ebu ona hapa chini
AhahaaaHahahaaa! Kwa kuwa wenyewe wenye nyumba waliziona zinafaa na wewe zipokee tu Mkuu.
Mi wala sizijali. π€£π€£
View attachment 2589541
Hahahaaa. Weeee usiniambie!! πKama itakuwa kama nilivyoona basi nawapeni pole wana yanga
Naona Mkuu. ππAhahaaa
Miye nagawa malove tuuuuuu
Bora Manula kaigiza kuugua ili adake Salim. Akina Aziz wangejitungulia ya mbaliKama Manula ameshatafuta visingizio Mtani hapo tegemea maumivu pekee Mtani. π€£π€£π€£
Sema nini Mtani maandishi ya ahadi yako nimeyakoleza kwa rangi ya Kijani na njano. Teh Teh π€£π€£
Tatizo mnamuwazia Manula mnasahau kuna Jini linaitwa Balekhe. Kazi yake sio nzuri upande wa pili. Anyway, muda unakaribiaHakika Mkuu awepo awepo kwani madhaifu yake tunayajua sana tu.
π π π πModerator, hamkuwa na sababu ya kuunganisha huu uzi. Kwa nini msingeuacha tu ubakie, ili kila mdau wa michezo achague sehemu yake ya kuchangia.
Ila apone bana ili baadae wampange. πBora Manula kaigiza kuugua ili adake Salim. Akina Aziz wangejitungulia ya mbali
π€£π€£π€£
uchovu unaleta ndoto za ajabu ajabuHapana kaka mie ni ndoto tu hata na hivo sitamani iwe ya kweli,mie mwanayanga ujue