Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Hamna haja Mkuu. 🤣🤣Ahaaahahaa
Acha niombe msaada Kwa moderators
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna haja Mkuu. 🤣🤣Ahaaahahaa
Acha niombe msaada Kwa moderators
Hayo sasa unayasema weweHatimaye simba awa muumini wa upinde inasikitisha sana 😓😓😓😒😒😒
Hapana kaka mie ni ndoto tu hata na hivo sitamani iwe ya kweli,mie mwanayanga ujueAcha ushirikina skola
Mkuu dislikes zinachafua unao,ebu ona hapa chiniHamna aja Mkuu. 🤣🤣
Kwa hiyo leo hamtapitia ule mlango wenu wa siku zote?Acha ushirikina skola
Hahahaaa! Kwa kuwa wenyewe wenye nyumba waliziona zinafaa na wewe zipokee tu Mkuu.Mkuu dislikes zinachafua unao,ebu ona hapa chini
AhahaaaHahahaaa! Kwa kuwa wenyewe wenye nyumba waliziona zinafaa na wewe zipokee tu Mkuu.
Mi wala sizijali. 🤣🤣
View attachment 2589541
Hahahaaa. Weeee usiniambie!! 😂Kama itakuwa kama nilivyoona basi nawapeni pole wana yanga
Naona Mkuu. 😂😂Ahahaaa
Miye nagawa malove tuuuuuu
Bora Manula kaigiza kuugua ili adake Salim. Akina Aziz wangejitungulia ya mbaliKama Manula ameshatafuta visingizio Mtani hapo tegemea maumivu pekee Mtani. 🤣🤣🤣
Sema nini Mtani maandishi ya ahadi yako nimeyakoleza kwa rangi ya Kijani na njano. Teh Teh 🤣🤣
Tatizo mnamuwazia Manula mnasahau kuna Jini linaitwa Balekhe. Kazi yake sio nzuri upande wa pili. Anyway, muda unakaribiaHakika Mkuu awepo awepo kwani madhaifu yake tunayajua sana tu.
😂 😂 😂 😂Moderator, hamkuwa na sababu ya kuunganisha huu uzi. Kwa nini msingeuacha tu ubakie, ili kila mdau wa michezo achague sehemu yake ya kuchangia.
Ila apone bana ili baadae wampange. 😂Bora Manula kaigiza kuugua ili adake Salim. Akina Aziz wangejitungulia ya mbali
🤣🤣🤣
uchovu unaleta ndoto za ajabu ajabuHapana kaka mie ni ndoto tu hata na hivo sitamani iwe ya kweli,mie mwanayanga ujue