FT: Simba 2-0 Yanga | NBC PL | Benjamin Mkapa Stadium | 16.04.2023

FT: Simba 2-0 Yanga | NBC PL | Benjamin Mkapa Stadium | 16.04.2023

**********
************************

Familia ya Bwana na Bibi TFF inayo furaha kubwa kukualika/kuwaalika Bwn/ Bibi/ Prof/ Mch/ Mh/Dr/Bwn&Bibi................................. Kwenye harusi ya kijana wao mpendwa YOUNG AFRICAN Anaetarajia kufunga ndoa na binti mrembo SIMBA (ZUWENA).
Harusi itafanyika siku ya Jumapili tarehe 16/04/2023 katika uwanja wa BENJAMIN MKAPA Jumapili Ndo Hiyo leo kitawaka kuanzia saa 11:00 jioni hivyo ukiwa kama ndugu na jamaa unaombwa kufika bila kukosa ukipata mwaliko huu mjulishe na mwenzio

**********
************************
 
IMG-20230416-WA0014.jpg
 
**********
************************

Familia ya Bwana na Bibi TFF inayo furaha kubwa kukualika/kuwaalika Bwn/ Bibi/ Prof/ Mch/ Mh/Dr/Bwn&Bibi................................. Kwenye harusi ya kijana wao mpendwa YOUNG AFRICAN Anaetarajia kufunga ndoa na binti mrembo SIMBA (ZUWENA).
Harusi itafanyika siku ya Jumapili tarehe 16/04/2023 katika uwanja wa BENJAMIN MKAPA Jumapili Ndo Hiyo leo kitawaka kuanzia saa 11:00 jioni hivyo ukiwa kama ndugu na jamaa unaombwa kufika bila kukosa ukipata mwaliko huu mjulishe na mwenzio

**********
************************
Acha egnesU...
Simba SC ni wanaume, Young African ni wanaume pia...hiyo ndoa inafungwaje hapo.

Acha mambo ya Ushoga wewe.
 
Mayeleeeeeee kamba [emoji460][emoji460]
Kuna kolo limeshtuka si mchezo
[emoji1787]
 
Watapigwa km [emoji1623][emoji1623][emoji1623][emoji1623][emoji1623][emoji1623]
 
Back
Top Bottom