FT: Simba 2-0 Yanga | NBC PL | Benjamin Mkapa Stadium | 16.04.2023

FT: Simba 2-0 Yanga | NBC PL | Benjamin Mkapa Stadium | 16.04.2023

Nilichokuwa nakitaka ndio hiki kimetokea leo.

Ishu haikuwa sio tu kumfunga Yanga

Bali ni kumfunga Yanga akiwa full compact plus na vile virutubisho vyake vya jezi nyeusi kuihusisha na bahati.

Mwaka jana niliposikia taarifa kuwa Mayele anataka kuuzwa mpaka Senzo kutishia kuondoka endapo atauzwa, nilikuwa mtu niliye tofautiana mtizamo na baadhi ya mashabiki wenzangu wa Simba.

Mimi sikutaka hilo litokee, hiyo yote ilikuwa kwa ajili ya siku kama ya leo.

Tungewafunga wakiwa wamepungukiwa na wale wachezaji wao nyota ningefurahi kama ushindi kumfunga mtani ila vibe lingekuwa too low.

Kwasababu kile kipindi tuwafunge bao 4-1 ni ukweli usiopingika kuwa hawakuwa na kikosi bora. That's why unaona hata wao utetezi wao ulikuwa "tulikuwa tuna kikosi kibovu"

Leo kila waliyetaka kumuona uwanjani, alikuwepo.

Kuanzia benchi la ufundi mpaka wachezaji wote leo walikuwepo, hakukuwa na majeruhi, hakukuwa na wachezaji waliokosa mechi sababu ya kadi za njano.

Leo labda watafute lawama kwa kumkosa Feisali. (Kitu ambacho nitawaona vigeugeu kwasababu wao ndio waliosema no Feisali no problem)

Mwisho nasema mjifunze kuiheshimu Simba, muache ushamba wa kuamini rangi ya jezi kuwa ndio yenye bahati.

Mechi yenu inayofata aanzeni upya hesabu zenu, kuanzia ule ukiritimba wa kufurahia kila mechi kufunga goli hadi unbeaten
Kumbe vifuani mwenu mmehifadhi maumivu makubwa na hamsemi?

Sikujuwa kama ulikuwa unaumia kiasi hiki.

Hii ni ushahidi tosha ya Watanzania walivyo huko mitaani watu wanaumia na mafanikio yako lakini hujui tu.
 
Sasa hapa umetabiri nini? Ungekuwa wewe ni shabiki wa Yanga angalau ingemake sense.
FB_IMG_1681666686373.jpg
 
Nilichokuwa nakitaka ndio hiki kimetokea leo.

Ishu haikuwa sio tu kumfunga Yanga

Bali ni kumfunga Yanga akiwa full compact plus na vile virutubisho vyake vya jezi nyeusi kuihusisha na bahati.

Mwaka jana niliposikia taarifa kuwa Mayele anataka kuuzwa mpaka Senzo kutishia kuondoka endapo atauzwa, nilikuwa mtu niliye tofautiana mtizamo na baadhi ya mashabiki wenzangu wa Simba.

Mimi sikutaka hilo litokee, hiyo yote ilikuwa kwa ajili ya siku kama ya leo.

Tungewafunga wakiwa wamepungukiwa na wale wachezaji wao nyota ningefurahi kama ushindi kumfunga mtani ila vibe lingekuwa too low.

Kwasababu kile kipindi tuwafunge bao 4-1 ni ukweli usiopingika kuwa hawakuwa na kikosi bora. That's why unaona hata wao utetezi wao ulikuwa "tulikuwa tuna kikosi kibovu"

Leo kila waliyetaka kumuona uwanjani, alikuwepo.

Kuanzia benchi la ufundi mpaka wachezaji wote leo walikuwepo, hakukuwa na majeruhi, hakukuwa na wachezaji waliokosa mechi sababu ya kadi za njano.

Leo labda watafute lawama kwa kumkosa Feisali. (Kitu ambacho nitawaona vigeugeu kwasababu wao ndio waliosema no Feisali no problem)

Mwisho nasema mjifunze kuiheshimu Simba, muache ushamba wa kuamini rangi ya jezi kuwa ndio yenye bahati.

Mechi yenu inayofata aanzeni upya hesabu zenu, kuanzia ule ukiritimba wa kufurahia kila mechi kufunga goli hadi unbeaten
Wapi professor Nabi
FB_IMG_1681666145241.jpg
 
Kumbe vifuani mwenu mmehifadhi maumivu makubwa na hamsemi?

Sikujuwa kama ulikuwa unaumia kiasi hiki.

Hii ni ushahidi tosha ya Watanzania walivyo huko mitaani watu wanaumia na mafanikio yako lakini hujui tu.
Mafanikio sio kumfunga Yanga mzee.

Kama kuna ishu ya kuoneana wivu kutokana na mafanikio basi hilo mnatakiwa mlifanye nyinyi ambao mnajikokota kimataifa baada ya miaka 30 ya maumivu.

Kinachofanya nifurahi ni namna mlivyokuwa mnapiga kelele na kujipa sifa ambazo hazipo.

Na mimd you ukiachana na ile iliyogonga mwamba yalipaswa yawe matatu.

Jezi nyeusi zimewaletea mkosi ambao mtaweka kwenye kumbukumbu za muda wote
 
K
Mtajijua wenyewe kila mtu ashinde mechi zake.
kama kila mtu ashinde mechi zake leo mbona mmeshindwa?? Safari ya kudondoka imefika, mechi ijayo mapoteza tena , itakayofuata sare na hapo ndoto za ubingwa bye bye!!
 
Nilichokuwa nakitaka ndio hiki kimetokea leo.

Ishu haikuwa sio tu kumfunga Yanga

Bali ni kumfunga Yanga akiwa full compact plus na vile virutubisho vyake vya jezi nyeusi kuihusisha na bahati.

Mwaka jana niliposikia taarifa kuwa Mayele anataka kuuzwa mpaka Senzo kutishia kuondoka endapo atauzwa, nilikuwa mtu niliye tofautiana mtizamo na baadhi ya mashabiki wenzangu wa Simba.

Mimi sikutaka hilo litokee, hiyo yote ilikuwa kwa ajili ya siku kama ya leo.

Tungewafunga wakiwa wamepungukiwa na wale wachezaji wao nyota ningefurahi kama ushindi kumfunga mtani ila vibe lingekuwa too low.

Kwasababu kile kipindi tuwafunge bao 4-1 ni ukweli usiopingika kuwa hawakuwa na kikosi bora. That's why unaona hata wao utetezi wao ulikuwa "tulikuwa tuna kikosi kibovu"

Leo kila waliyetaka kumuona uwanjani, alikuwepo.

Kuanzia benchi la ufundi mpaka wachezaji wote leo walikuwepo, hakukuwa na majeruhi, hakukuwa na wachezaji waliokosa mechi sababu ya kadi za njano.

Leo labda watafute lawama kwa kumkosa Feisali. (Kitu ambacho nitawaona vigeugeu kwasababu wao ndio waliosema no Feisali no problem)

Mwisho nasema mjifunze kuiheshimu Simba, muache ushamba wa kuamini rangi ya jezi kuwa ndio yenye bahati.

Mechi yenu inayofata aanzeni upya hesabu zenu, kuanzia ule ukiritimba wa kufurahia kila mechi kufunga goli hadi unbeaten

Huo ujinga wa kushadadia rangi nyeusi ya jersey ni ushamba wa kiwango cha aina yake...
 
Back
Top Bottom