FT: Simba 2-0 Yanga | NBC PL | Benjamin Mkapa Stadium | 16.04.2023

FT: Simba 2-0 Yanga | NBC PL | Benjamin Mkapa Stadium | 16.04.2023

Nilitaka nishangae hawa walioshindwa klabu bingwa na kuangukia shirikisho ndio watufunge sisi?
 
Nataka first 11 Bestiie kama ile ya Liverpool inayojulikana na kila mtu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bhanaa sisi wapo wengi wanabadilishana, tuna kikosi kipanaaa.
Kwan hapa naomba KDB awe mzima jaman lol
 
Siku hizi imekuwa nuksi??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wakati toka tupo Southern zone tulikuwa mashabiki wa CR 7 kabla hajaenda Madrid
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sijawahi kuwa shabiki wa Red Devils mie.
Man city 4rm childhood had now
Citizens [emoji170][emoji170][emoji170]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sijawahi kuwa shabiki wa Red Devils mie.
Man city 4rm childhood had now
Citizens [emoji170][emoji170][emoji170]
Haya 😂😂😂😂
Kabla ya Pep Kocha wa Cytzen alikuwa nani ???
 
Back
Top Bottom