Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bhanaa sisi wapo wengi wanabadilishana, tuna kikosi kipanaaa.Nataka first 11 Bestiie kama ile ya Liverpool inayojulikana na kila mtu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Duh wewe inaonekana ni Man United kabisa 😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bhanaa sisi wapo wengi wanabadilishana, tuna kikosi kipanaaa.
Kwan hapa naomba KDB awe mzima jaman lol
Man united?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Duh wewe inaonekana ni Man United kabisa [emoji23][emoji23][emoji23]
Siku hizi imekuwa nuksi??? 😂😂😂😂Man united?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hebu nitolee nuksiii mie.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sijawahi kuwa shabiki wa Red Devils mie.Siku hizi imekuwa nuksi??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wakati toka tupo Southern zone tulikuwa mashabiki wa CR 7 kabla hajaenda Madrid
Haya 😂😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sijawahi kuwa shabiki wa Red Devils mie.
Man city 4rm childhood had now
Citizens [emoji170][emoji170][emoji170]
Vp umeshangaa??Simba akishinda nitashangaa
Kuna kiumbe kinaitwa Baleke yaani ni atari ..washukuru sanaa la sivyo ilikuwa tuwapge mkonoWell said
Kubwa nimefurahi tumewaziba midomo
Uto walikua wanatamba sana kabla ya mechi yaleo
Asante Mungu tumeibuka na ushindi mnono wa points zetu3
Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
SurePitch imekua tamu balaa
Hahahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
UtakulA ban ohoooo[emoji23][emoji23][emoji23]Tutawatombaje leo
Hata azam antenna haisumbui,hata ije mvua ya mawe
Ufungaji uvutie???ili iweje???mpira magoli chiefufungaji wa simba bado havutii
Same to meNsaidieni sm yangu picha jazifunguki
Comeback ya konyoNiwakumbushe tu sisi ndio king of comeback [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Ushauri mzuri ila HAIWEZEKANI.Nashauri huyu kipa number tatu wa Simba awe na number moja ni mzuri kuliko Aishi manula,manula angedaka Leo Simba ingekuwa ishachakazwa
Weeee,manula bado kiboko,yule jamaa kuna saves huwa anafanya ni kama muujiza,ingawa hyu dogo ni mzuri kwenye one vs one.Huyu golikipa Ally salim tayari keshamnyang'anya namba Manula,kikubwa ajikinge na misumari.