FT: Simba 2-0 Yanga | NBC PL | Benjamin Mkapa Stadium | 16.04.2023

FT: Simba 2-0 Yanga | NBC PL | Benjamin Mkapa Stadium | 16.04.2023

Picha linanza baada ya mechi nikatupia uzi wangu,the nikatoka kuelekea dukani kupata japo soda,ile nakunja kona namuona mtoto mmoja mkaleeeeeeeeeeeeee,katupia uzi wa mnyama kashika vuvuzela,akanicheki kisha akatabasamu nikampa hi,akareply nikamwambia nakaa paleeeeeee,in case utataka tuangalie marudio.

Mtoto akasema si nakuonaga uko na demu ako,mnaenda kununua ice cream,nsije kupigwa buree mie,nikamwambia yule utopolo,hii wiki ni ya wanyama hebu weka namba hapa mtoto.

Mnieombee wazinzi wenzangu furaha ya simba inanipa gono sio mdaa mimi dah[emoji25][emoji25][emoji25]
 
Simba kafanya kitu cha msingi sana, Kamnyang'anya bubu simu.
FB_IMG_1681666686373.jpg
 
CAFU wanaandika kila siku kuwa Simba ni Big timu namba 9 Afrika na ipo champion league.
Kuna watu akina Chama pale, watu wanao Tisha sana.
Kuna Kibu denis.

Mlizidisha dharau wapumbavu nyie.
Simba inatisha sana. Leo mlikuwa mnafungwa goli nne.
Muwashukuru waganga wenu.
 
Kumbe vifuani mwenu mmehifadhi maumivu makubwa na hamsemi?

Sikujuwa kama ulikuwa unaumia kiasi hiki.

Hii ni ushahidi tosha ya Watanzania walivyo huko mitaani watu wanaumia na mafanikio yako lakini hujui tu.
Mnamafanikio gani nyie mbulula, mmeshindwa kumlipa Fesali alafu mnazungumzia mafanikio
 
Back
Top Bottom