Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukitaka kufurahi na shoo baada ya boli kuisha wasikilize hapo baade wachambuzi wetu maandaz
Bocco yupi?cross imepigwa kupiga kichwa tu yeye na kipa kapiga kichwa cha hewaHahaha huyu ndo BM3 Sasa angempa boko pale ingekuwa kamba Ile.
Azam sio ya kuichukulia poa. Si unaona walivyoipapasa Yanga?Tukutane kwenye fainal haya mazoezi yameshaisha hapa zenji kwa siku ya leo [emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122] SSC
Morrison ana faida ndogo sana kwa sababu achezagi kitimu japo ana uchu wa mafanikioKiukweli kabisa huyu Morisson auzwe kwa mkopo ndugu zangu,au nyinyi mnaonaje wakuu?
Abakie ili aendelee kukeraKiukweli kabisa huyu Morisson auzwe kwa mkopo ndugu zangu,au nyinyi mnaonaje wakuu?
Mgeni wa heshima ni utopolo. Anatoa zawadi kanunaP. O Sakhoooooooooooooooooooo
Man Of The Match
[emoji23]Mpira ukiisha tunaomba Simba isitoke, waingie azam tumalizane nao kabisa tuchukue kikombe chetu hatutaki kuzungushwa zungushwa sisi
Aaache ujinga wake.Mgeni wa heshima ni utopolo. Anatoa zawadi kanuna