FT: Simba 3-0 Coastal Union | NBC Premier League | Uhuru Stadium | 21.09.2023

Uto mneteseka sana kwa sababu ya Mnyama wakati wanaokandwa ni wengine, kwa hali hii life span yenu lazima ipungue
 
Reactions: BRN
Makubaliano Simba mwana afungwe 7-0
Mbona kuna mwenzenu ametabiri Simba anakufa 2-0 ? Hakuyaona haya makubaliano?

 
Uto mneteseka sana kwa sababu ya Mnyama wakati wanaokandwa ni wengine, kwa hali hii life span yenu lazima ipungue
Nani ateseke,kila mwenye akili timamu alishajua nini kinakwenda kutokea,mfano mzuri ni Azam TV wameamua kurekodi hii match kwa kutumia tekno F1

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kujisemea Azam tv #NABADO
hapa kenedy juma ndipo alipotakiwa kuanza piga misumari...aoni wenzie..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…