Arajiga alichezesha Ngao ya jamii?Ndio uwezo wenu ulipoishia,Arajiga kashamaliza kazi yake first half sasa ni zamu yenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ihefu wale walioitoa utopolo usichana wao wa unbeatenIHEFU iheshimiwe!
🤣🤣😂😂😁Mtapata tu na ligi leo mtaongozaGoli 10 zitafika kweli mbona naona kama tunacheleweshana hapa
Jana kampiga mtu tobo, ikaenda kwa Yao Yao, Mudah akamaliziaKupitia tobo lake lipi..
Hilo la mdomoniKupitia tobo lake lipi..
Manula alibong'oaHilo la mdomoniView attachment 2757223
Wapatie wapi goli kumi,dakika ya 76 hii,labda ingekua rede hii🤣🤣😂😂😁Mtapata tu na ligi leo mtaongoza
Hivi kumbe kuna watu wana hofu kuhusu msimamo wa ligi?Wapatie wapi goli kumi,dakika ya 76 hii,labda ingekua rede hii
Si walisema leo wanashinda saba ili waongeze ligiHapa kuna namna, yawezekana Simba hawajafanya fair kwenye makubaliano,yaani goli 3 zimepatikana kipindi cha kwanza,tena wachezaji wa timu pinzani wakiwa kamili,kipindi cha pili timu ikiwa pungufu,Simba wanashindwa kupenya... aisee,benchi la ufundi la Simba,wafanye namna waongeze mpunga.