OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Mbona Uto mlikula 3 ngao. Ilikuwa bikini au?Mh! Naona wanacheza na pazia!...😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona Uto mlikula 3 ngao. Ilikuwa bikini au?Mh! Naona wanacheza na pazia!...😂
Muulize Nabi
Hapana, ni GamondiKwa hiyo Tinyo leo ni kocha bora?
Kabisa naunga mkono hojaLeo hutasikia malalamiko kwa mashabiki wa Mikia kwenda kwa kocha wala mchezaji yeyote yule
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi kunipangia kutamba kwenye uzi wangu 🤣🤣🤣Kama huna cha kujibu, tuliza mshono.
Kwenye hiyo Ngao alifungwa magoli mangapi kijana wa Rage?Hata Djigui alichukua bahasha ya Ngao
[emoji23]Simba punguzeni kunipa rahaa
Tuliza kisabengo...kaa Kwa kutulia tizama samba loketoKama huna cha kujibu, tuliza mshono.
Huu sio Uzi wako,nenda katambe kwenye zile nyuzi zako za Mayele na Aziz KHuwezi kunipangia kutamba kwenye uzi wangu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Akikujibu nitagKwenye hiyo Ngao alifungwa magoli mangapi kijana wa Rage?
Mwambie huyo...Huwezi kunipangia kutamba kwenye uzi wangu 🤣🤣🤣
Rage hakukosea,leo kuanzia kocha mpaka wachezaji wote wataonekana wa maanaTuliza kisabengo...kaa Kwa kutulia tizama samba loketo
Nani kwa simba au?Kadi nyekundu
Uto Mnawashwa kweli leoRage hakukosea,leo kuanzia kocha mpaka wachezaji wote wataonekana wa maana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa mbumbumbu hawajui mechi ijayo wanaenda kukutana na wababe wao wa Mashujaa Fc!! 😃Kama kilasiku mtakua mnacheza na coastal hapo Sawa
We unaona hiyo sio red ama?