Smt016
JF-Expert Member
- Jan 11, 2016
- 3,012
- 4,300
Game plan yao ni nzuri tu ila waamuzi wameamua kuwanyonga, penati haikuwa halali, na kurudiwa kwa penati ambayo ilishakoswa nako haikuwa halali. Kipa alifuata sheria zote za udakaji wa penati. Na wachezaji walifuata sheria zote za penati. Ila waamuzi wamewauaHawa Kagera badala ya kucheza football wanacheza rugby ngoja wagongwe