elly obedy
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 803
- 1,482
KWeli ubaya ubwelaWadhamini waliomba hawa vijana wa super market .
View attachment 3060624
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KWeli ubaya ubwelaWadhamini waliomba hawa vijana wa super market .
View attachment 3060624
"Ati izi ni mambo gani" in Kenyan voiceWadhamini waliomba hawa vijana wa super market .
View attachment 3060624
Kenyan voice haisaidii kitu mazee hao ndio wadhamin wako ."Ati izi ni mambo gani" in Kenyan voice
Dj D homie.Sema huyu Big wa Crown Fm anaipatia sana mixing kwenye kitengo cha DJ
Respect sana
Mno.KWeli ubaya ubwela
Sanaaaaa....wamepoa na wamasai wao....🤭🤭🤭Shughuli imepooza sanaa
Nisubiri kesho shughuli ya wananchi💚💛
Semaji limetokelezea kirembo 😁😁
Moja unusu usikuWAKUU, MECHI ITAPIGWA SAA NGAPI?
Ngoja waliopita jando na unyago walet jibu OKW BOBAN SUNZUHiyo ni kimasai au kizaramo?
Natamani jukwaa lidondoke....Hiyo ni kimasai au kizaramo?
Ushamba unawasumbua tuNatamani jukwaa lidondoke....
Haifai. Likianguka watu wakafa hapo haina usimba wala uyanga. Ubinadamu kwanza 🤣🤣Natamani jukwaa lidondoke....
Mmasai pumzi zimembana....wanahema kama wanakata rohoUshamba unawasumbua tu
Wamasai wamechukua hela ya bureeMmasai pumzi zimembana....wanahema kama wanakata roho