ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Wanawake bana ndio maana hamshindwi kucheat. Pale unapoona mumewako hana fedha! Komaa nae huyo huyo mumeo aka koloWakuu mi ni shabiki wa Lunyasi damudamu kwa kipind kirefu sana ila kwa sasa Yanga imenivutia sana, mnanishaurije ni kipindi cha mpito tu nivumilie au nihame tu kuifurahisha nafsi
Admn kavurugwasasa unaandika tarehe halafu muda unamuachia nani..?
tarehe bila muda ni sawa na hakuna kitu!
mtajutia nafsi zenu leo!Game ya Leo itabadili mtizamo woote wa dharau walizinazo timu nyingine kwa Simba. Hawatoamini macho yao. Baada ya game ya Leo wapinzani wa Simba watakumbwa na hofu kuu.
Mpaka Sasa sijaona aliyesema APR ni timu mbovu. Ila soon baada ya game utawaona wanavokuja kulazimisha ubovu wa APR.
Dada nenda tu tunajua umevutiwa na vile vitenge.Wakuu mi ni shabiki wa Lunyasi damudamu kwa kipind kirefu sana ila kwa sasa Yanga imenivutia sana, mnanishaurije ni kipindi cha mpito tu nivumilie au nihame tu kuifurahisha nafsi
Leo Jumamosi katika uwanja wa Benjamin Mkapa, wenye nchi Simba SC watafanya ule mtoko wa jezi mpya na utambulisho wa wachezaji na benchi la ufundi kwa msimu wa 2024/2025
Utambulisho huo utamalizika kwa mechi ya kirafiki dhidi ya APR kutoka Rwanda.
Kaa nami katika uzi huu upate update ya matukio yote yakakayojiri..
Tunamsikilizia Mganga Kwanza kwani hii Mechi ya Leo pia tunaitumia kujaribu na Ndumba itakayotumika Msimu mzima.mh! mbona hamjibu mechi inachezwa sangapi...?
utayaweza matusi..? maana huyu ni propera ya hayo madude!😂Unaongea wewe kama nani?🤔
GENTAMYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" na pia kama Mshindi pekee wa TUZO na FEDHA ya Jukwaa la Michezo ( Sports ) hapa JamiiForums kwa Msimu wa mwaka 2022 / 2023. Kwa Lugha nyepesi GENTAMYCINE ndiyo Jukwaa la Michezo JamiiForums na Jukwaa la Michezo JamiiForums ni GENTAMYCINE hutaki kwa Wivu, Chuki na Uswahili wako katafute Sumu ya Panya kisha uikorogee katika Kikombe cha Maji unywe na UFE / UFARIKI kabisa sawa?Unaongea wewe kama nani?🤔
Nataka kutukanwautayaweza matusi..? maana huyu ni propera ya hayo madude!😂
si nasikia na waganga mliwapa thank you!.. hamkomi..?Tunamsikilizia Mganga Kwanza kwani hii Mechi ya Leo pia tunaitumia kujaribu na Ndumba itakayotumika Msimu mzima.