FT: SIMBA DAY 2024: Simba SC 2-0 APR | Mkapa Stadium | 03/08/2024

Bado tupo kwenye preseason

Chelsea ilifungwa na celtic goli 4

Arsenal kafungwa na liverpool

Mancity kafungwa na celtic

Madrid kafungwa na AC milan

So preseason haiakisi chochote zaidi ya kocha kuingiza mfumo mpya wa uchezaji
Hiyo inaeleweka.
 
Bado tupo kwenye preseason

Chelsea ilifungwa na celtic goli 4

Arsenal kafungwa na liverpool

Mancity kafungwa na celtic

Madrid kafungwa na AC milan

So preseason haiakisi chochote zaidi ya kocha kuingiza mfumo mpya wa uchezaji
Acha kufananisha full professionals na sisi huku unga unga mwana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…