min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Unanisikia au nakatika katika?Nipigie tena nlikua mbali na simu 😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unanisikia au nakatika katika?Nipigie tena nlikua mbali na simu 😁
Utakuaje mwanaume kwapa jeupe aisee. Acha hizoDah!! Sasa Ali K alishindwa kusafisha kwapa🤔
Wanaume mna mambo ya ajabu
Alafu mara paaaap wafungweeee 🙄🙄🙄Tatizo utopolo ni washamba sana. Dunia yote sasa ina igiza Superman
Alafu mara paaaap wafungweeee 🙄🙄🙄Tatizo utopolo ni washamba sana. Dunia yote sasa ina igiza Superman
Nasikia pisi zenye shingo ya mistari kama hii zinakuwaga na kei ya moto sana.NItawaletea Live sasa maana mambo yameanza kupamba moto.
UBAYA UBWELA Tuna tamba na SANDA utopolo bado na imani za kichawi wakiona neno SANDA wanachangayikiwa
View attachment 3060608
View attachment 3060607
Nakupigiaa nlikua bize kidogoUko wapi
Unakatika hadi sio poa, tuma tu meseji nitasoma 😹Unanisikia au nakatika katika?
View attachment 3060614
😏😏😏😏😏😂 Mi nilidhania mtakausha wakuuUtakuaje mwanaume kwapa jeupe aisee. Acha hizo
Ndio watu wenu hao......Ukiachana na Mwijaku nani mwingine umemuona ambaye ni mchafua sherehe?
Unakatika hadi sio poa, tuma tu meseji nitasoma 😹
Umeona???Unakatika hadi sio poa, tuma tu meseji nitasoma 😹
Achana naye yule huwa haishiwi sababu.Manara alisema simba hawajamaliza ticket mbona uwanja umejaa? Yani Ahmed Ally 1 kawapiga bao watu zaidi ya watatu kwenye uhamasishaji kamaliza ticket siku 3 kabla ya tukio alafu manara na genge lake hadi muda huu ticket za yanga hazijaisha
Ulivyotoka nilikua nausikiliza kila siku wakati mimi ni YANGA😂Ila hii ngoma ya "sio leo toka zamani" imebamba sana ikipigwa ata kama nikivaa uzi wangu pendwa wa DAR YOUNG AFRICAN lazima ata kamoyo kacheze kama sio kurusha mikono
Achana na yule zeruzeru mimi simkubalii anatuchafulia YANGAManara alisema simba hawajamaliza ticket mbona uwanja umejaa? Yani Ahmed Ally 1 kawapiga bao watu zaidi ya watatu kwenye uhamasishaji kamaliza ticket siku 3 kabla ya tukio alafu manara na genge lake hadi muda huu ticket za yanga hazijaisha