min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Majini na kusali wapi na wapi🤪Nishasali jana....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majini na kusali wapi na wapi🤪Nishasali jana....
Yaani, kesho napanda juu ya meza, eti mashine za msimu...mxyiiiiuuuuu!!!!Bora useme wewe madamm ..!!! Subiri kesho uone tutakavyonoga
WaaaaaaAhmed anajitahidi kuongea. Ila lolote liwakute
Tuone sasa make tangu saa moja tupo na wewe ulivoweka maharage jikoniHyo sir ya kambi, hatuwez kushnda nanyi kwenye sekta hyo
Tunasubiri point zenu keshoAhmes hana points cz anajua hawana maajabu
Upuuzi tu
Uwe makini usimwage radhi😂Yaani, kesho napanda juu ya meza, eti mashine za msimu...mxyiiiiuuuuu!!!!
Asizeeke wakati kaachwa, anakula kwa mama ntilie dailyNilikuwa nasinzia. Naskia dogo anasema yoo mbona Kiba kazeeeka 😁
Ila sauti ya live anayo aisee 😍
Ila sio kwa wana Simba....Sisi wote watanzania ujue 🤣
Kaa kwa pumzii...! Kesho usitoke kwenye runinga yakoTunasubiri point zenu kesho
Wa babu ndio wakupandishe juu ya meza🙄Yaani, kesho napanda juu ya meza, eti mashine za msimu...mxyiiiiuuuuu!!!!
Mimi niko hapa nasubiri Utopolo wenu,sisi full house Hapo umeona.bado gameKaa kwa pumzii...! Kesho usitoke kwenye runinga yako
Sitothubutu....ila hata MO kazeekaUwe makini usimwage radhi😂
Kujaza uwanja tu kuchukua makombe aaah..!Mimi niko hapa nasubiri Utopolo wenu,sisi full house Hapo umeona.bado game