ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nivumilie kwenye wamekusanyana juzi? Wamekaa wiki 3 wakijiandaa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nivumilie kwenye wamekusanyana juzi? Wamekaa wiki 3 wakijiandaa
Fullbacks zetu (Kapombe&Zimbwe) bado zinacheza kizamani mno, sioni mabadiliko yoyote ya kimbinu.Sofar tumecheza vizuri bado kuna mapungufu ktk final third tunahitaji natural winger upande wa kulia ..chasambi aingie
Mmh!Ila tarehe nane kuna maafaBado tupo kwenye preseason
Chelsea ilifungwa na celtic goli 4
Arsenal kafungwa na liverpool
Mancity kafungwa na celtic
Madrid kafungwa na AC milan
So preseason haiakisi chochote zaidi ya kocha kuingiza mfumo mpya wa uchezaji
😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hizo hesabu usilete bongoBado tupo kwenye preseason
Chelsea ilifungwa na celtic goli 4
Arsenal kafungwa na liverpool
Mancity kafungwa na celtic
Madrid kafungwa na AC milan
So preseason haiakisi chochote zaidi ya kocha kuingiza mfumo mpya wa uchezaji
Ubaya ubwelaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Tafuteni pesa mazee mpira hauleti ugali mezani🤗
Wewe ni umbwa sana.Ubaya ubwelaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Naona anawadanganya maaduiKwa dk 45 za kwanza, bado hakuna muunganiko wa timu. Ni suala la individual players. Tarehe 8 tunaweza nyanyasika iwapo kocha hatakuja na mbinu ya kuonganisha timu.
Tunataka matokeo ya fastafastaKumbuka Simba imefumua kikosi chake kwa sehemu kubwa na kocha amekuja na falsafa mpya ...inachukua muda mpk timu ikae sawa.
Tatizo wabongo hatujui mpira na hatuna subira.
Ugali tulishautafuta kitambo ...mpira ni sehemu ya burudani kwetu,tunatumia pesa zetuTafuteni pesa mazee mpira hauleti ugali mezani🤗
Kwa hiyo unaamini kocha ana uwezo wa kuunganisha timu kwa siku tano zilizobaki?Kwa dk 45 za kwanza, bado hakuna muunganiko wa timu. Ni suala la individual players. Tarehe 8 tunaweza nyanyasika iwapo kocha hatakuja na mbinu ya kuonganisha timu.