Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 6,823
- 15,293
Imemwacha amesema hapa Ahmed Ally ila hayupo uwanjaniJe Simba haijamuacha mugalu!?? Mbona leo hajaagwa..!?
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imemwacha amesema hapa Ahmed Ally ila hayupo uwanjaniJe Simba haijamuacha mugalu!?? Mbona leo hajaagwa..!?
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Kafika tangu saa nne alikuwa uwanjani wanamwonyeshaLile jamaa lililonibondea Mandoga mmeliona?
Kumbe ni mwana Simba Sc mwenzetu bwana.[emoji23]
Halafu watu wakitoa mabilioni kwenye mikataba mnaona kama wanatufadhili.Jamani Azam kumejam mtandao umefurika waliiochelewa havinunuliki hatari sana
Ni vile nafasi zao (wachezaji wa kigeni) ni very limited, hivyo inatulazimu kutoa mtu ili kuingiza mtu.Kagere angeongezewa japo mwaka mmoja aisee, very painful
Ndo style yake...but ni mhamasishaji mzuri sana...Ila kwenye hiki kipengele Ahmed anakipoozesha sana yani vibe ya shughuli yote imepoa wangempa mtu mwenye vibe ya juu
Mimi naona jamaa yupo vizuri tu, amekosa tu michambo ambayo kimsingi haihitajiki kwenye tamasha la heshima kama hili.Ila kwenye hiki kipengele Ahmed anakipoozesha sana yani vibe ya shughuli yote imepoa wangempa mtu mwenye vibe ya juu
Mmeanza sasa, hii comment imenifurahisha sana[emoji23].Kwako Hemedy Ally,
Wewe ni mwanaume, jitahidi basi kukaza sauti yako na kuzungumza kama mwanaume acha kuilegeza as if unaongea na wanao.
kiboko ya amandonga yule.hana kelele nyingi yeye ni vipigo tu kama Simba s.c[emoji109][emoji109]Lile jamaa lililonibondea Mandoga mmeliona?
Kumbe ni mwana Simba Sc mwenzetu bwana.[emoji23]
OkKwako Hemedy Ally,
Wewe ni mwanaume, jitahidi basi kukaza sauti yako na kuzungumza kama mwanaume acha kuilegeza as if unaongea na wanao.
[emoji23][emoji23][emoji28]acha mambo yako wewe.Kwako Hemedy Ally,
Wewe ni mwanaume, jitahidi basi kukaza sauti yako na kuzungumza kama mwanaume acha kuilegeza as if unaongea na wanao.