Ninja assasin
JF-Expert Member
- Jul 2, 2018
- 2,512
- 5,848
mnyamaaaaa we are unstoppable ⚔️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu msomaji Tiketi zooote zimeuzwa[emoji7]View attachment 2317760
Mashabiki makini wa Simba SC Mnyama tutakuwa hapa Live Jamiiforums.
Mashabiki wa Simba dunia nzima wameendelea na vibe la Simba Day kona zote duniani,huku mashabiki wa Dar Es Salaam wakiendelea kumininika Uwanja wa Mkapa.
Simba tutatambulisha kikosi hatari na benchi la ufundi katika msimu wa 2022/23. Wasanii watatoa burudani wakiongozwa na Zuchu, Whozu, Tunda Man na Meja Kunta.
Mwisho kabisa kandanda saaafi dhidi ya St George ya Ethiopia mishale ya saa 12 Jioni.
Updates
Ndugu msomaji Tiketi zooote zimeuzwa
View attachment 2317953
Updates
Mchezo wa utangulizi Simba Queens Vs Fountain Gate unaendelea.
FT: Simba Queens 2-0 Fountain Gate
Usiondoke JF
Mchezo wa utangulizi Simba Queens Vs Fountain Gate unaendelea.View attachment 2317760
Mashabiki makini wa Simba SC Mnyama tutakuwa hapa Live Jamiiforums.
Mashabiki wa Simba dunia nzima wameendelea na vibe la Simba Day kona zote duniani,huku mashabiki wa Dar Es Salaam wakiendelea kumininika Uwanja wa Mkapa.
Simba tutatambulisha kikosi hatari na benchi la ufundi katika msimu wa 2022/23. Wasanii watatoa burudani wakiongozwa na Zuchu, Whozu, Tunda Man na Meja Kunta.
Mwisho kabisa kandanda saaafi dhidi ya St George ya Ethiopia mishale ya saa 12 Jioni.
Updates
Ndugu msomaji Tiketi zooote zimeuzwa
View attachment 2317953
Updates
Mchezo wa utangulizi Simba Queens Vs Fountain Gate unaendelea.
FT: Simba Queens 2-0 Fountain Gate
Usiondoke JF
tulia utaelewa tuUtopolo wanaanza kusingizia eti wao wamepata pesa nyingi..wanashindwa kuelewa hata maana ya live dashboard..babra alionesh M 300 ilikua ni saa nne asubuhi..sasa just imagine mpaka mchana ilikua kiasi gani...once utopolo always utopolo!
Wana nabii wao...[emoji23]Utopolo wanaanza kusingizia eti wao wamepata pesa nyingi..wanashindwa kuelewa hata maana ya live dashboard..babra alionesh M 300 ilikua ni saa nne asubuhi..sasa just imagine mpaka mchana ilikua kiasi gani...once utopolo always utopolo!
Clouds wakiamua wanakupeperusha kweliSijawahi kujuta kushabikia simba..ila hawa clouds kwa promo ni balaaa...hawana shughuli ndogo..hili vibe sio la nchi hii..
Mwandishi wa CAF kasema Mkapa stadium inatakiwa ipanuliwe watu ni wengiKwa hali hii, nina hakika Simba SC wana uwezo wa kujaza viwanja vyote viwili, ule wa taifa na shamba la bibi 100%
Ni suala dogo la kupewa ruhusa tu.
Yes, that's what I meant.[emoji1535]That's market segmentation, sell at low price to ordinary populations but more quantities, finally more revenue.
The strstegy to penatrate the market for more customers.
Jamaa majeruhi yalimrudisha nyumaDaaaah Tadeo Lwanga kama hataki hivi, haya ma-vibe watayamiss sana.