Tipstipstor
JF-Expert Member
- Nov 29, 2021
- 1,528
- 3,352
Asante tajiri Mo Dewji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msemaji akihojiwa alisema timu yao mpya kama itamruhusu atakuja tumwageNamuona kagere kaja kushuhudia tamasha
Mech inaanza saa ngap mkuu??Rais wa CAF, Patrick Motsepe.
Saa mokoKabumbu linaanza saa ngapi?
Saa mojaMechi rasmi inaanza saa ngapi aseee
Imagine Being Simba.....Imagine being us..
Saa 1:00 usiku....Kabumbu linaanza saa ngapi?
Ukiwa taifa umevaa jezi ya Simba ya sports pesa unaingia bure muda huuSisi ndio Baba lao wa Soka Tamu, Sisi ndio Waaanzilishi wa Matamasha ya aina hiii. NJOOOONI TUIJAZE LUPASO pomoniiiii. We are Unstopable
Simba mnatuumiza mashabiki wenu.
Jezi mbaya na mmeleta pic chache sana.
Halafu mlivyo wajinga mmeleta team wachovu ili mtudanganye ..
Mimi nahama hili li team bora nihamie yanga tu..wewe sio simba
Hii ya leo hakuna hata mkoja atakaepata nafasi ya kutia kasoro, kila kitu kipo safi na hii itawatia hata motisha wachezaji wapya kujua kwamba wanavaa beji ya team kubwa sana hapa East Africa.Yule aliyeuliza kwanini huanza kuandikwa SIMBA na Yanga nadhani majibu ameyapata.
Matokeo vipi?Simba Queens wanaupiga mpira biriani