Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
Ila combination ya Babra na Ahmed Ally wakishirikiana na management ya Simba walichofanya leo hakijapata kuonekana kwa Club hapa Afrika. Hongera kwao.
Halafu nchi hii inataka kuruhusu wahuni kama Manara na Hersi waharibu heshima ya mpira na TFF?
*****, bora kuipiga chini timu nzima tuone! Kwani Yanga ni nini bana, au kwa sababu kina Mkuchika na yule muhuni Madelu wako huko wanataka kutuharibia soccer?
Nadhani Rais wa CAF atawaambia wengine what's Simba
Halafu nchi hii inataka kuruhusu wahuni kama Manara na Hersi waharibu heshima ya mpira na TFF?
*****, bora kuipiga chini timu nzima tuone! Kwani Yanga ni nini bana, au kwa sababu kina Mkuchika na yule muhuni Madelu wako huko wanataka kutuharibia soccer?
Nadhani Rais wa CAF atawaambia wengine what's Simba