Hata huyu Mzungu naona ni porcher mzuri sana, muhimu apewe wapiga pasi wa mwisho wazuriHuyu Ouattara alikuwa chaguo la kocha, amepatia; na mzungu nae ni chaguo la kocha, apewe muda majibu yatapatikana..
Naamini kocha anawajua watu wa kazi, hawezi kumbeba mchezaji bila sababu aje aharibiwe kazi..
Acha kupenda vya BURESimba tunakupa unachotaka na unachostahili .
ila wanasimba tupunguze ulevi Kuna jamaa apa kila goli ananunua cret 20 za bia .
Tumelewa
Muhandsome wetu [emoji847]Mzungu hana hata mazoezi ya muda mrf tayari midomo mirefu mmeanza
Nani kakwambiaAcha kupenda vya BURE
Mkuu kupishana mtazamo ni kosa mpka tuanze kutukanana?wewe ni mjinga tu,kesho utumie akili
Poleni.Kwa ufupi familia yangu kuanzia babu mzaa mama mzaaa baba na wajukuu na ukoo mzima ni Simba yelewiiiiiii
Pole ww Tate kwa kipigo cha leoPoleni.
Ni wapi nimesema nimekunywa hzo bia mkuuAcha kupenda vya BURE
Tukutane Jumamosi.Pole ww Tate kwa kipigo cha leo
Umeona ee kuna jinga moja linaona ni umalaya kumsifia mtu kama mzuri mzuri tuu au anataka asifiwe yy sura ngumuMuhandsome wetu [emoji847]
Sawa msikariri mtapigwa kipigo cha mbwa koko. Ila mnachekesha yani mechi yenu kubwa ni kumfunga simbaTukutane Jumamosi.
acheni hizoManzuki aletwee
Sawa msikariri mtapigwa kipigo cha mbwa koko. Ila mnachekesha yani mechi yenu kubwa ni kumfunga simbaTukutane Jumamosi.
Atuacheeee. [emoji1787]Umeona ee kuna jinga moja linaona ni umalaya kumsifia mtu kama mzuri mzuri tuu au anataka asifiwe yy sura ngumu
Hawa young (Yanga)hawanaga akili acha kujichoshaSawa msikariri mtapigwa kipigo cha mbwa koko. Ila mnachekesha yani mechi yenu kubwa ni kumfunga simba
Vipers hata kwenye ramani ya afrika ya masharikin hawamo achilia mbali ya afrika! Dakika ya kwanza tu gooooooooaaaaaaallllll!Mmeita vibonde wa Ethiopia