FT: Simba Day: Simba 2 - 0 St George Uwanja wa Mkapa/ 08/ 08/ 2022

Huu ubunifu wa Simba Sc leo ninawapa asilimia 100%, zimekamilika 100 kwasababu ni kitu ambacho hakikuwahi kufanywa na club yoyote hapa Tz.


Ofcourse ni lazima tuwe na vitu vya kitofauti kama hivi, wengine waige tu maana sio dhambi.
Woyoooooooooooh
 
Kama hii ninayo iona kipindi Cha kwanza ndio Simba inayotarajiwa kutoa Changamoto Kwa Yanga, Nashauri kocha nabi akanywe bia za kutosha na kupumzika.
Tuwasubiri kuwaona Azam au Singida, Simba haitakuwepo kwenye ushindani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tulia na kikundi chako mlichofungwa huko.
 
Timu zingine zinawapa kazi askari wetu wa uhamiaji, hao wanakuja 30 wanaondoka 25,hao watano uhamiaji wakichelewa tu wamezama South Africa.
Relaaaaaaaxxxxxxxx!!! Kwann uteseke?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Acha wivu ww unataka upendwe ww sura kama kokwa la embe. Hasara unaijua ww na dada zako wanaokojoa hovyo hovyo hata kwa kuangalia picha. He is handsome sio ww kifupi nyundo kilichokomaa chenye vigimbi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unajichekesha chekesha nini au hapa napashana na mwanamke mwenzangu kashaona wivu? Maana sidhani kama kuna mwanaume aliekamilika anaweza akawa dizaini yako. Shost unanichoshaaa twende wote kwa mzungu tukakojozwe maana naona una wivu hatari.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
mama j aliliwa lodge , ila huyo kakojoa yuko kwake akimtizama mserbia kwenye kideo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna kitu cha kuchekesha hapo au ni umasikini unakusumbua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…