cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Daah ishapita.Mech inaanza saa ngap mkuu??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah ishapita.Mech inaanza saa ngap mkuu??
WoyooooooooooohHuu ubunifu wa Simba Sc leo ninawapa asilimia 100%, zimekamilika 100 kwasababu ni kitu ambacho hakikuwahi kufanywa na club yoyote hapa Tz.
Ofcourse ni lazima tuwe na vitu vya kitofauti kama hivi, wengine waige tu maana sio dhambi.
Sio shida zetu hizo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwisho wa siku pochi NENE ni kwa
View attachment 2318078
Kwa hapa nakubali, Ahmed Ally ameshindwa kutambulisha, mwakani nitaomba niwe MC. Niburudishe jukwaa.Aisee mashabiki wa simba mna moyo, halafu mnawaamini viongozi wenu! Mbona Manzoki ameshaongeza mkataba na timu yake mpaka 2025...
Suti tulishafanya zamani mnoo.Sio mambo ya Suti.
Relaaaaaaaaxx, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mmeita vibonde wa Ethiopia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tulia na kikundi chako mlichofungwa huko.Kama hii ninayo iona kipindi Cha kwanza ndio Simba inayotarajiwa kutoa Changamoto Kwa Yanga, Nashauri kocha nabi akanywe bia za kutosha na kupumzika.
Tuwasubiri kuwaona Azam au Singida, Simba haitakuwepo kwenye ushindani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Byuti byuti walipo huko wanapiga ngumi upepo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aliyemnyoa chama nywele moja kwa moja peponi
Relaaaaaaaxxxxxxxx!!! Kwann uteseke?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Timu zingine zinawapa kazi askari wetu wa uhamiaji, hao wanakuja 30 wanaondoka 25,hao watano uhamiaji wakichelewa tu wamezama South Africa.
Wanoteseka uhamiaji.Relaaaaaaaxxxxxxxx!!! Kwann uteseke?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwetu hadi wajukuuu.Kwa ufupi familia yangu kuanzia babu mzaa mama mzaaa baba na wajukuu na ukoo mzima ni Simba yelewiiiiiii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha wivu ww unataka upendwe ww sura kama kokwa la embe. Hasara unaijua ww na dada zako wanaokojoa hovyo hovyo hata kwa kuangalia picha. He is handsome sio ww kifupi nyundo kilichokomaa chenye vigimbi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unajichekesha chekesha nini au hapa napashana na mwanamke mwenzangu kashaona wivu? Maana sidhani kama kuna mwanaume aliekamilika anaweza akawa dizaini yako. Shost unanichoshaaa twende wote kwa mzungu tukakojozwe maana naona una wivu hatari.
Kwann utesekeee??? Relaaaaaaaxxxxx.Wanoteseka uhamiaji.
Kuna kitu cha kuchekesha hapo au ni umasikini unakusumbua?mama j aliliwa lodge , ila huyo kakojoa yuko kwake akimtizama mserbia kwenye kideo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]