Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Taifa ukiiendea na makelele na mbio nyingi lazima ufeli tu.Ni ngumu kuperform Taifa, Shooo Nyingi hupwaya.....
Ila hii ya Kiba yenyewe.
Huko mpirani tu babuuuuu punguza munkariNahama NMB wazembe sana hawa😋😝
[emoji23]Mbona kawaida sana Kelele tu
Bado hujasema,kunywa maji kisha anza upya kusema tenaMbona kawaida sana Kelele tu
Na hatumii nguvuNi ngumu kuperform Taifa, Shooo Nyingi hupwaya.....
Ila hii ya Kiba yenyewe.
Ameingia kama mfungwa aliyefungwa kamba huku akisindikizwa na askari kwenda kunyongwa! Na akanyongwa kweli eti kwenye kitanzi.Anaman
Ameingiaje?
Wengine walikuwa na entrance Nzuri tu ( mondi, zuchu, harmo)....Taifa ukiiendea na makelele na mbio nyingi lazima ufeli tu.
Nani?Kaua sana huyu jamaa kuliko hata jinsi nilivyokuwa natarajia.
[emoji91]
Yeah..!Nani?
Alikiba?
Huwezi kupiga liveshow Taifa.Sema wasanii wa bongo kupiga live show hua n kipengele kigumu Sana...