Mtu_ bakize
Senior Member
- Jul 8, 2018
- 157
- 214
Mwinyaku uchawa unampendeza sn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka unamwagika...Nimefika Beshti yangu....
Simba inajua kutupa raha watu wake bhana....
Unyama ni mwingi..
basi supu kaitia naziIpo utopolo inakosaje kwa mfano?
Simbaa watu wana vibeeeee uwanja haujapoaaa
Tundaman endelea kuwaboaa yani unawakera pale palee panapouma..
HahahahaMgeni rasmi kateleza kidogo,msimnunie huko jamani
View attachment 2710019
Kanikera sana yule dogo, anaimba matusi eti una basha wako, daah basha si ni mfir*j*.Wasanii wetu hawajui vitu vya kuimba kwenye shughuli muhimu na kubwa kama hizi...maneno gani yale alikuwa anaimba halafu mbele ya watoto wa shule anawechezesha hizo nyimbo.
Wakati mwingine tuwaambie wasanii wetu.
Usije kushangaa akaimba hivyo hata mbele ya Rais.
Huu ukweli hawatala kuusikia simba, ni kiba na tunda man ndo wamebeba hiyo simba day labda na hiyo mechi na dynamo.Uwanja mmejaza, burudani zero...
Wakae mbali utoo.Mke Wa Mtu Sumu
Mume wa Mtu Sumu
Kwenye Jambooo La Mtu Kaa Mbali
Kaua sana huyu jamaa kuliko hata jinsi nilivyokuwa natarajia.One of the biggest show
Ulitaka uskie nini kwenye watu 60k?Mbona kawaida sana Kelele tu