Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah!...kumbe Simba ina watu ?...🙄🙄
Halafu haturingi.Dah!...kumbe Simba ina watu ?...🙄🙄
AnamanAhmed Ally Anatarajiwa Kuingia Uwanjani Na Ngamia.
Hii Anataka Kumaanisha Nini?
Ameingiaje?Halafu huyu msanii wao kila mwaka anawaletea tu mikosi. Mwaka jana aliingia uwanjani akiwa ndani ya jeneza! Na kilichotokea timu ikaambulia patupu msimu mzima. Safari hii ameamua kuinyonga tena timu yake!!
Huu msimu nafasi ya tatu wataitafuta kwa jasho na damu...Halafu huyu msanii wao kila mwaka anawaletea tu mikosi. Mwaka jana aliingia uwanjani akiwa ndani ya jeneza! Na kilichotokea timu ikaambulia patupu msimu mzima. Safari hii ameamua kuinyonga tena timu yake!!
Uto Watasema umeedit picha 😂
Wanahitaji semina hawa...Wasanii wetu hawajui vitu vya kuimba kwenye shughuli muhimu na kubwa kama hizi...maneno gani yale alikuwa anaimba halafu mbele ya watoto wa shule anawechezesha hizo nyimbo.
Wakati mwingine tuwaambie wasanii wetu.
Usije kushangaa akaimba hivyo hata mbele ya Rais.
Ni kweli...Nipo uwanja wa taifa apa Kwa mkapa, hili nyomi lote na hizi kelele tungetumia kudai maslah ya taifa letu, na maisha bora kwa ujumla tungekuwa mbali sana.