OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Ni ushamba tu wa Uto, wangemkaushiaMkude tumemuaga hivyo hivyo japo kafanya kiburi kuja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ushamba tu wa Uto, wangemkaushiaMkude tumemuaga hivyo hivyo japo kafanya kiburi kuja
Sikutegemea kumuona.Mkude tumemuaga hivyo hivyo japo kafanya kiburi kuja
Namba 40Banda amevaa namba ngapi
Uwanja una ma-gap mengi sana aiseeh, kama vipi wafungulie Mbwa.Mbona uwanja mweupe hv? MaGap kibao [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Uto
Kwani umelala?Hili Semaji halina sauti ya Kuamsha hamshaaa
Inaanza muda gani?Zoezi La Utambulisho wa Wachezaji Limekamilika
Kinacho Fuata Ni Mechi Ya Kirafiki
Ndio kawabeba sasa.
Sio yule wa Insta MnyamaYani ni rahaaa tupu leo....
Watu wana raha mpka basi aisee
Sio yule anaevaa hereni hana sifa za SimbaSio yule wa Insta Mnyama
Hapana sijalalaKwani umelala?
Wazee wa "Baba me nataka bwaana"..[emoji1]