Hardlife
JF-Expert Member
- Apr 11, 2021
- 2,758
- 6,299
Akifika utamuona tu.Vipi [emoji355]100 kishafika ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akifika utamuona tu.Vipi [emoji355]100 kishafika ?
Sio UTOPWINYO MnyamaNdio kawabeba sasa.
PIPi au?Wazee wa "Baba me nataka bwaana"..[emoji1]
Anacheza na Ali Kiba MnyamaKwa hiyo leo Simba anacheza na nani?
mtaalam huyo sio kama wale walilia ubwabwa kwenye event ya yanga[emoji16]Huyu Mbwaduke hizi data za kweli?
Acha kuhangaika!Hamna maajabu,Bek Innonga tu hapooo
Munch wa annabelletz47 wewe UTOPWINYO si ukae pembeniSio UTOPWINYO Mnyama
Ana kile kicheko chake cha kiupinde.Hili Semaji halina sauti ya Kuamsha hamshaaa
Powe DYNAMO Kened Mudenda ndani
😆😆🤢
tiketi sold out, tiketi zilikuwa na seat number lakini maelfu ya watu wamezuiwa Kwa sababu uwanja umejaa huu ni uhuni uliopitiliza.