Imefanikiwa kuweka rekodi ya kuwa timu ya kwanza ya Tanzania kufuzu kuingia hatua ya Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa Wanawake baada ya kuifunga Green Buffaloes ya Zambia.
Simba Queens ambayo ilipoteza mchezo wa kwanza dhidi ya ASFAR, imeshinda 2-0 dhidi ya Green Buffaloes, wafungaji wakiwa ni Asha Djafari na Opah Clement.
Ikiwa na alama sita katika michezo mitatu, timu hiyo imeungana na ASFAR Club kusonga mbele kutoka katika kundi hilo.
===========
Simba 2-0 Green Buffaloes
Simba 1-0 Determine Girls FC
Achana na wabishi kama hawa...yeye angejiuliza kwanini hiyo hatua ya kuingia makundi sio ya kila mtu? Na kwanini kuna pesa ya maandalizi kuanzia hatua hiyo..na hapo hapo rankings za timu zinapanda! Huyu jamaa ni zwazwa.Kama kweli kwa timu yako kuona ikishiriki makundi si mafanikio basi huna vision ya mpira
Viongozi wako waliompa mkataba kocha kwa makubaliano ya kuwafikisha makundi Club bingwa ndio wanaelewa thamani ya makundi
Rekebisha hapo simba vs dertimine girls..walifungwa 2-0Imefanikiwa kuweka rekodi ya kuwa timu ya kwanza ya Tanzania kufuzu kuingia hatua ya Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa Wanawake baada ya kuifunga Green Buffaloes ya Zambia.
Simba Queens ambayo ilipoteza mchezo wa kwanza dhidi ya ASFAR, imeshinda 2-0 dhidi ya Green Buffaloes, wafungaji wakiwa ni Asha Djafari na Opah Clement.
Ikiwa na alama sita katika michezo mitatu, timu hiyo imeungana na ASFAR Club kusonga mbele kutoka katika kundi hilo.
===========
Simba 2-0 Green Buffaloes
Simba 1-0 Determine Girls FC
Huyo dada mvaa ushungi anaupiga mwngi kuwazid djuma.shaban na kibwana shomariKwangu mimi mchezaji bora wa Simba aliyepafom vizuri mpaka sasa ni beki namba mbili Fetty Densa ambapo katika goli lililofungwa yeye ndio alitoa assist
Simba popote anaogopwa Jina lile lina nguvu sana km mnyama mwenyewe ...sijutii kushabikia simba club yaan hadi dada zetu vipenzi wanatufurahisha kaka zao [emoji1434]Hili jina "Simba" limebeba baraka nyingi sana.
Amka toka usingizini utajikojolea ewe mla mihogo.nusu ni nini hata kufika fainal mara 10 na kupigwa zote unabaki bwege tu
chukua kikombe ndo ujitape, unajitapa makundi ama robo ndo nini
kwamba hujui hata wa mwisho ligi kuu hupata fedha za kujiendesheaMmmh, Sasa kwanni timu ikifika makundi inapewa hela(tena mabilioni), ikifika robo inapewa mpunga, ikifika nusu inapewa mpunga ikifika fainal inapewa mpunga...
Kwann wasitoe mpunga kwa aliyeshinda fainal tu kama huku kote hakuna maana?
sawa mbumbumbuAmka toka usingizini utajikojolea ewe mla mihogo.
kweli mkuuKila mtu na malengo yake. Kama vile utopolo lengo la kusajiri kina aziza, joyce, jiara, birigimana, nk ni kwaa ajili ya kifunfa ihefu, na kuikamia simba hapa bongo baasi. Ndio mpk leo mnajivunia kombe la 45 la unbeaten [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mchezaji yoyote anaejitambua na kutaka kuendeleza soka lake hawezi kuchezea utopolo. Leo aziz ki anajuuta, aucho analia, jiara ndio kabisaa anajitukana tuu kila akilala, huyo joyce anaona bora angebaki alikotoka. Morisoni najilaumu ndio haishi kuwatukana wenzie.
Labda hapo mchezaji mwenye furaha ni mayele na bangala tuu maana wakongo wanabweteka kiraisi sana yaani wakiimbwa kwenye bendi wanakata mauno tuu.
yanga ajawahi kuwa mnyonge ukitaka amini itisha mechi na simba uone nani anakuwa mnyongeNi yanga, tena mi nashangaa watu kuivheka yanga yenu jaman wakati kwenye mechi 5 za CAF mlizocheza msimu huu mmefunga magoli 10 na mmefungwa mawili tu huku sisi simba tunaowacheka tumefunga magoli 8 na kufungwa 1
ila kiufupi soka halifai nimegundua, yaan mtu ni unbeaten misimu miwil, CAF mechi tano umefungwa magoli 2 na umefunga 10 na bado unaongoza ligi lakin bado unaonekana mnyonge jamn football
Hupata sawa na mshindi wa pili?kwamba hujui hata wa mwisho ligi kuu hupata fedha za kujiendeshea
Yanga ilianzishwa ili kucheza na Simba peke yake tu??yanga ajawahi kuwa mnyonge ukitaka amini itisha mechi na simba uone nani anakuwa mnyonge