FT: Simba SC 1-0 Ihefu FC | Ligi Kuu Bara | Stade de Benjamin Mkapa 12/11/2022

FT: Simba SC 1-0 Ihefu FC | Ligi Kuu Bara | Stade de Benjamin Mkapa 12/11/2022

Bila tiGo pesa hamtoboi
Wachawi bana
20221112_175357.jpg
 
Simba hii sio ile tunayokuwaga tunaitarajia kabla ya mechi. Yaani game ikianza, pass nyingi zisizo na madhara, mpira unachezwa sana nyuma na kati na ubunifu wa viungo kupiga pasi mpenyezo na mashambulizi ya kushtukiza hakuna kabisa. Kwa mpira huu gap la Chama linaonekana wazi....
 
Hii mechi inaweza kuenda sare.simba hawana nidhamu ya kumalizia game kabisa, sijui kwann kibu denis kaingia mana akili ya mpira hana kabisa hii nafasi ni kumtoka tu kipa yeye anaguswa anaanguka chini ili iweje sasa ?? Kwann asingejikaza akaenda kufunga goli la pili
 
Back
Top Bottom