FT: Simba SC 1-0 Ihefu FC | Ligi Kuu Bara | Stade de Benjamin Mkapa 12/11/2022


sasa unawezaje kupita akati watu wanacheza 9 nyuma ya mpira kipindi chote..ila watu wengine mpira mmeujulia uzeeni ndo tatizo,watu wakipaki basi njia pekee ya goli ni kitumia mipira ya kutenga tu na uwezo binafsi hakuna namna
 
Refa aliamuru mkwaju wa penalty lakini alipata usaidizi wa mshika kibendera kuwa ilikuwa nje ya box la 18.

Ikapigwa Free Kick kuelekea Ihefu FC ambayo haikuzaa bao.

Ko ile ndo penati [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…