FT: Simba SC 1-0 Ihefu FC | Ligi Kuu Bara | Stade de Benjamin Mkapa 12/11/2022

Mwanangu Chirwa kapige palepale kwenye mshonoooo hakuna kipa hapo
 
Vikosi vyote vya Simba SC na Ihefu FC kwenye mchezo wa leo.
 
Inakuje tena mnacheza na Ifehu nyie si mlisema level yenu kina Al Ahly Wydad Zamalek huku mnatafta nini
 
Timu zipo uwanjani zikipasha misuli moto tayari kwa mbiringe hii ya Ligi Kuu.
 
Ihefu FC wanaweza kwa Mnyama Mkali Mwituni [emoji881] au wanatafuta lawama.
 
Wakati wowote mpira utaanza Uwanja wa Benjamin Mkapa

00' Naaaaaam mpira umeanza | Simba SC 0-0 Ihefu FC
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…