FT: Simba SC 1-0 Ihefu FC | Ligi Kuu Bara | Stade de Benjamin Mkapa 12/11/2022

Ila Toka aondoke uchebe, Simba tumekosa identity yetu ya uchezaji... Haijulikani tunacheza mpira wa aina gani.. Yaani Kuna mda timu inapooza paka unajiuliza hii ni Simba au...
Simba anaye create identity yenu ni Chama kwa leo hayupo na ndio maana hamuioni hiyo identity.
 
39' Namna gani hapa Phiri na Kyombo wanashindwa kufanya maamuzi sahihi lango la Ihefu
 
Mpira huu... lolote linawezekana. hata Utopolo mbovu ilimtoa mwarabu juzi
 
41' Sakho anapiga shutii looooooo, golikipa Ssituba anadaka mpira unamtoka na kuokolewa na beki

Simba SC 0-0 Ihefu FC
 
Pamoja na baadhi ya wachezaji kutokuwa hadhi ya Simba ila tatizo ni kocha lipo wazi.. Mgunda ni avarage coach.. level za kufundisha timu kama namungo na kagera
Jamani Pep mnene leo mnamkana,tuachieni kocha wetu,akiweka mikono mfukoni tunashinda

Guvu moya πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…