Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo sahihi sana, mpira unachezwa na watu ambai hawaijui hata algebra ni nini.Morrison ana afadhali sana. Ulaya wanachoizidi Africa ni brain ya wachezaji wao. Siku mpira wautakapochezwa na vijana wenye akili za kichwani kiwango cha Div. 1 za point 7-12, wazungu watashika adabu zao. Shida mpira unachezwa failure brains.
Team iliyopark bus haiwezi kufunguliwa kwa penetration passes ndefu, bila kupishana nao kwa pasi fupifupi kutoboa ni ngumu.Hizi long pass na penetration pass naiona mipira mingi ikipotea kwa namna hii
Yes, mchezo wa mpira ni full mathematics. Everything ni application ya maths. Bahati mbaya hatujajua huo mtego.Upo sahihi sana, mpira unachezwa na watu ambai hawaijui hata algebra ni nini.
Duh!!Morrison ana afadhali sana. Ulaya wanachoizidi Africa ni brain ya wachezaji wao. Siku mpira wautakapochezwa na vijana wenye akili za kichwani kiwango cha Div. 1 za point 7-12, wazungu watashika adabu zao. Shida mpira unachezwa failure brains.
Kwa nini wametoka mapema?Bora Yanga wametoka mapema maana zingejirudia
Ahsanteee mtaniiiii!!!
Yaleyale matumizi ya akili. Wachezaji wanashindwa kuwa na maamuzi ya haraka na makadirio sahihi. Matokeo yake wanapoteza mipira kirahisi sana.Hizi long pass na penetration pass naiona mipira mingi ikipotea kwa namna hii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleee kwa maumivu ya jana.Simba wako serious kuliko userious wenyewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka had machoziii. Yaan div 1 ya 7 had 12??Morrison ana afadhali sana. Ulaya wanachoizidi Africa ni brain ya wachezaji wao. Siku mpira wa kiafrika utakapochezwa na vijana wenye akili za kichwani kiwango cha Div. 1 za point 7-12, wazungu watashika adabu zao. Shida mpira unachezwa failure brains.
Wameshakata motoPale mbele wachezaji wote simba hawana utulivu