FT: Simba SC 1 - 0 JKT Tanzania | NBC PL | KMC Complex | 24.12.2024

FT: Simba SC 1 - 0 JKT Tanzania | NBC PL | KMC Complex | 24.12.2024

Refa anamaelekezo usishangae penati ikawekwa.haiwezekani kabsa Awesu akose mpira aone nifaulo chemalone atoe mpira aone goolkick
Haya malalamiko Yako ni halali kabisa nakushauri uyapeleke TFF
 
Nasikitika hii mechi sita iangalia nitakuwa bize sana.

Shilingi moja atakamata
Kamara
2. Aanze Nouma Valentino
3. Kapombe- Kijiri ni mapepe sana, hajatulia kabisa sijui ni kwa nini.
4. Hamza- mdogo wangu Che Mallone ajitafakari kwanza kwa kutufungisha mala kwa mala kimataifa.
5. Chamou
6. Ngoma Fabris
7. Dr. Lucho Fundi
8. Kagoma
9. Attebaaaa
10. Mavambo Fernandez
11. Mpanzu.
Hii simba ikikutana na Yanga inakufa 6
 
Back
Top Bottom