The Humble Dreamer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 7,574
- 10,598
Iko vizuri hii!Ila hii site ina scratches balaa
FawaNews - Your Home of Sport
Latest sports news , Eredivisie , Jupiler pro league , English Premier League , Formule 1 , Ralley , Moto GP ,Bundesliga, La Liga , NBA , NFL , NHL ... and all other european leagueswww.fawanews.com
Mkuu Simba kufungwa au JKT kufungwa au ikatokea sare nayo ni matokeo ya kushangaza?Leo kutakuwa na matokeo ya kushangaza
Yaani Mpanzu angekuwa utopoloni saa hizi wangekuwa washakunywa supu saba mara sabini😄😀Hata mimi naona jamaa hajui kabisa mpira. Kibu ni bora x2 ya Mpanzu.
Hakuna mchezaji hapo boss. Tumepigwa.Yaani Mpanzu angekuwa utopoloni saa hizi wangekuwa washakunywa supu saba mara sabini😄😀
CEO wa zamani wa Simba Dr Leonard Kashembe amefarikiNini kimetokea Wadau? Naona Wachezaji wamevaa vitambaa vyeusi mikononi.
Kama Mpanzu siyo mchezaji ili awe mchezaji mlitaka aweje?Hakuna mchezaji hapo boss. Tumepigwa.
Vipi na leo amefunga?Freekick maeneo yaleyale aliyofunga Ahoua mechi iliyopita
Vipi na leo amefunga?Freekick maeneo yaleyale aliyofunga Ahoua mechi iliyopita
Hii genu ngumu Sana.Chasambi leo ana game mbovu. Fadlu amfanyie replacement haraka