Dan Zwangendaba
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 5,814
- 8,118
Na hii wachezaji wa Simba wakifanya uvivu kidogo tu kama ule wa Kagera basi Simba anakufa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JKT wameziba nafasi hata penetration pass ni ngumu kupiga ndio maana anajaribu kupiga mashuti nje ya boxMUPANZU nje.
Yeye anajua kupiga golini tu hajui kama yupo na teammates?
Acha wenge, tulia.Kocha aache usenge, sasa mutale wa nini?
Bado hujasemaBado wachezaji hawafanyi pressing ya nguvu. Bado
Kuna penalti hapo. Refa ni nani leo?Ngoja tuone hizi sub.
DoooohMutale anaingi kuchukua nafasi ya Mpanzu
Wakati Ateba anatoka nafasi yake ikichukuliwa na Mukwala
Utawaua mkuu.Goooooooooooool
Jkt wanapata goli hapa kutoka kwa papaa bocco
Jkt 4
Simba 0
Kwa mkono wa refa leo simba watashinda sio nje ya hapoUtawaua mkuu.