ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Kombe la loser is calling 📞
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda wauibe huo ushindi wa goli nyingiSio ushindi pekee ndio itakayoipa Simba nafasi ya pili bali ni ushindi wa magoli matano au ushindi wa magoli machache huku ikimuombea Azam afungwe au atoe sare.
Vita ya mfungaji bora Saido mechi ya mwisho anaweza kuwashangaza akafunga goli 15 na kuchukuwa kiatu yeye, yule mzee haishiwahi maajabu.Ila Saido msimuuze atawasaidia sana msimu ujayo,ikiwezekana,muwekeni kwenye benchi la ufundi kwa ushari, si unajua kijiji lazima kiwe na wazee.
Duh....🤣🤣🤣
Goli lililotupa pointi 3 mechi ya 29 dhidi ya KMC kule Arusha!
Iwepo kwa kumbukumbu kwa ajili ya vizazi vijacho..
Alafu kipa na mchezaji mwenzake wanapongezana 🤣🤣🤣 baada ya kuwapa goli NGURUWE FC!
View attachment 2999678