Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
atafanyaje sasa mzee wawatu atakonda sasa hivi tuMwambieni Mgunda
Azam 4 : 1 Kagera
Uchungu uchungu, mabao ya simba yanaleta uchungu mapema mno, chap chap hapo hapo. Na hapo msimu ni mbaya sijui kipindi inachukua mfululizo hali itakuaje.Kuna watu Simba ikishinda mechi zake wanabanwa kuhemaa😊 utasikia ooh kibahashaa Mara ohh Nini Nini😅😅😅
Anacheza baby football. Yaani wamuache Bacca wampe Mtu ambaye ukuta wao umeruhusu goli 50 hadi sasa?Wacha- mbuzi hawajawahi kumuona Bora.
Yaani Malone ndiye beki Bora kabisa ligi Kuu.
Mchukueni yangaIla Saido msimuuze atawasaidia sana msimu ujayo,ikiwezekana,muwekeni kwenye benchi la ufundi kwa ushari, si unajua kijiji lazima kiwe na wazee.
Si mlimuongeza mkataba baada ya kufungana na Mayele, msimuache mechi ijao anaweza weka goli kumi akamfikia K na Feisal maana msimu uliopita aliweka nne akamfikia Mayele na makataba mkamuongezea.M
Mchukueni yanga
Akiongezea mkataba si mnavunja? Au mmezoea free agent?Si mlimuongeza mkataba baada ya kufungana na Mayele, msihivu mechi ijao anaweza weka goli kumi akamfikia K na Feisal maana msimu uliopita aliweka nne akamfikia Mayele na makataba mkamuongezea.
IliMwambieni Mgunda
Azam 4 : 1 Kagera
Msemaji wenu si anasemaga hela ya kuvunja hatuna,si tunasubiria type kama za Mkude.Akiongezea mkataba si mnavunja? Au mmezoea free agent?