FT: Simba SC 1 - 0 KMC | NBC Premier League | Sheikh Amri Abeid Kaluta Stadium -Arusha | 25.05.2024

FT: Simba SC 1 - 0 KMC | NBC Premier League | Sheikh Amri Abeid Kaluta Stadium -Arusha | 25.05.2024

Huyo Kipa wa KMC inawezekana ni shabiki wa Simba au kafuata maelekezo aliyoambiwa ya kibahasha
Mwaka jana Mayele alifunga goal Vs Ihefu Yanga akashinda 1 bila baada ya round ya kwanza Yanga kupoteza 2-1. Keeper wa Ihefu alitaka kuanzisha mpira mchezaji wa Yanga akaja kwa nyuma akaucheza Mayele akaweka kambani. Sijui unakumbuka? Vipi lile goal lilikuwa match fixing?
 
Mwaka jana Mayele alifunga goal Vs Ihefu Yanga akashinda 1 bila baada ya round ya kwanza Yanga kupoteza 2-1. Keeper wa Ihefu alitaka kuanzisha mpira mchezaji wa Yanga akaja kwa nyuma akaucheza Mayele akaweka kambani. Sijui unakumbuka? Vipi lile goal lilikuwa match fixing?
Ulishasema alikuja kwa nyuma maanake hakuweza kumuona, huyu kipa wa KMC kapewa pasi ambayo hakuwa kwenye presha na mpira ulikuwa wa taratibu tu na mbele anaona vyema tu anayekuja. Ila kasubiri hadi Saidoo aje afunge.
 
Kwa Yanga hakuna match fixing au sio.
Ulishasema alikuja kwa nyuma maanake hakuweza kumuona, huyu kipa wa KMC kapewa pasi ambayo hakuwa kwenye presha na mpira ulikuwa wa taratibu tu na mbele anaona vyema tu anayekuja. Ila kasubiri hadi Saidoo aje afunge
 
Mwaka jana Mayele alifunga goal Vs Ihefu Yanga akashinda 1 bila baada ya round ya kwanza Yanga kupoteza 2-1. Keeper wa Ihefu alitaka kuanzisha mpira mchezaji wa Yanga akaja kwa nyuma akaucheza Mayele akaweka kambani. Sijui unakumbuka? Vipi lile goal lilikuwa match fixing?
Sio decisive matches like these . Unajua all matches were not put in betting site . Due to fear of fixing
 
Mwaka jana Mayele alifunga goal Vs Ihefu Yanga akashinda 1 bila baada ya round ya kwanza Yanga kupoteza 2-1. Keeper wa Ihefu alitaka kuanzisha mpira mchezaji wa Yanga akaja kwa nyuma akaucheza Mayele akaweka kambani. Sijui unakumbuka? Vipi lile goal lilikuwa match fixing?
naskia mmeshushwa tena kwenye utatu
 
Azam wanazidi kuongeza magoli 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wanangu wa Kino wanazingua, hii mechi droo inatutosha kabisa.
 
Na iwakae sawa wajinga kabisa hao.

Kwanza hawafai kuwepo hapo,waje watu wengine wanaojali matokeo ya uwanjani na si matumbo yao.
Wataona umuhimu wa kuwa serious maofisni na sio kuleta wachezaji wa ki propaganda.
Ila nyie mpira unauma sijui kwanini apa nilipo naona azam anavyo tia chuma hata sina hamu dadeq
 
Back
Top Bottom