Kwani nani kakuzuia kucheki,si ucheki tuHii mechi haina ladha bora kucheki gemu ya Horoya vs Raja casablanca.
Vipers wapuuzi kweli, tumewanyoosha kwao halafu wanatuita Zuwena, wana visirani vya kike[emoji1787][emoji1787]Zuwena ni nyie utopolo mlionyooshwa nyumbani kwenu🫣🫣🫣Zuwena fc 0:3 Vipers sc
Utopolo tena?Vipers wapuuzi kweli, tumewanyoosha kwao halafu wanatuita Zuwena, wana visirani vya kike[emoji1787][emoji1787]Zuwena ni nyie utopolo mlionyooshwa nyumbani kwenu🫣🫣🫣
UMesahau mavi mavi FCUtopolo FC gongowazi FC , manyani FC un educated FC
Tunataka?!! Kwa nini unaagiza? Nini kinakupa haki ya kuagiza. Watu wanazungumzia mechi huyu usajiliMo ANASHIDA sana.
Tunataka Quality players.
Si Hawa wachezaji wa Buku Buku.
Akina Kanute, sawadogo, Banda, Baleke, Ottara, Dejan.
Asituletee mambo za ajabu ajabu kabisa..
Aige mfano kwa GSM.
Bangala, Aucho, mayere.
wacha papara uandike vizuri basi... yamebaki masaa manne!! ninawakumbusha tu kama bado hamjapampata paka mweusi...Tunataka?!! Kwa nini unaagiza? Njni kinakuna haki ya kuagiza