Mpigania uhuru wa pili
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 3,380
- 6,376
Point saba kwani hiko kiporo umechezaYanga kaizidi Simba point 4 sio 5 kama unavyopotosha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Point saba kwani hiko kiporo umechezaYanga kaizidi Simba point 4 sio 5 kama unavyopotosha
MATAULO FCHii ni faida kwetu zaidi, endeleeni kugombea nafasi ya pili ndio size yenu.
Aahh Kabisa [emoji1787][emoji1787]Haka ni kaugonjwa ka utani wa jadi tu Mtani na hakatibiki kamwe ndo sababu hata jana Mashujaa walivyokomboa mlitamani game iishie vile. [emoji3][emoji3]
Una ufala mwingi sana...NAFASI YA PILI YA MOTO SANA[emoji23][emoji23]View attachment 2898819
Simba kazidiwa point 7. Game ambayo hujacheza huwezi kuihesabia kwamba umeshinda.Yanga kaizidi Simba point 4 sio 5 kama unavyopotosha
[emoji117][emoji706][emoji706]Unapunguza point ambazo hazijapotezwa bado
Kuna akili zingine zina shida jamaa analazimisha point ambazo hajacheza ahesabu kwamba kashindaUnaesab point hujazipata bado [emoji23]
Kwa mujibu wa nani?Lakini tutashinda tu.
Wapumbavu kabisa kuanzia refa na azam tv yote...60'
Simba Sc 0 - 1 Azam
Ushahidi Huo Hapo Juu Ndugu Hakimu.
Ulinganifu wa point unapimwa kwa idadi sawa za mechi mlizocheza.Point saba kwani hiko kiporo umecheza
Wananchi tuishi ktk hii picha.NAFASI YA PILI YA MOTO SANA[emoji23][emoji23]View attachment 2898819
Maisha hayataki userious huo[emoji23]Una ufala mwingi sana...
Azam mbona tumesema sana kuhusu tabia hiiAzam Tv wangese wangese zenu...sitakaa kuangalia tena Tv lenu..shwaini zenu...haya furahini sasa wapumbavu nyie...hamrudii matukio ya uwanjani yaliyoleta sintofahamu...ww kayoko mpuuuzi mkubwa....