Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Kabisa 🤣🤣🤣🤣Bado hawajasema mpaka waseme.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa 🤣🤣🤣🤣Bado hawajasema mpaka waseme.
Aminaaaaaaaa 😂😂Namungo Wapo Vizuri kuliko 5imba jaman [emoji1787][emoji1787]
Wavumiliege tu kwa kweli bestie. 😂😂Bestie taratibuuu si wajua tena mods mashabiki wa simba hapo walipo wamefura kwa mahasira😂😂😂😂😂
Baada ya dakika tisini kuisha ndio mtapata goliGoli lipo ni swala la muda
Naunga mkono hoja 👍👏Kwa sub hizi, matola kaiua timu, kama tukio goli ndio ya mungu mengi lakini sitarajii.
Mzamiru ni kiungo mgumu mnoo, unatoa chama ambae anaweza kuunga timu toka kwa mzamiru kwenda juu, unatia wings 2, konde boy na chilunda(ambae ni striker asilia)
Nina mashaka makubwa na uelewa wa soka wa makocha wetu.
Simba waahakata 🔥Mtani wetu wala usihofu hii game unashinda waz tuu..
Hahajajaj kbsaa nilimuonya waziri kuto kuwa serious sna na yeyeNaona alizidiana nao masilahi ndo maana akaamua kuwachoma
Hahahaah unacheka kinafikiKolos Imekula kwenu bwahahahahahahahahah!
AahaaaaHahajajaj kbsaa nilimuonya waziri kuto kuwa serious sna na yeye
Mkuu Saido na Chama hawapaswi kuendelea kutegemewa. Tunafeli sababu ya kuwakariri hawa.Kwa sub hizi, matola kaiua timu, kama tukio goli ndio ya mungu mengi lakini sitarajii.
Mzamiru ni kiungo mgumu mnoo, unatoa chama ambae anaweza kuunga timu toka kwa mzamiru kwenda juu, unatia wings 2, konde boy na chilunda(ambae ni striker asilia)
Nina mashaka makubwa na uelewa wa soka wa makocha wetu.
Akili yao ya futball ni ndogo.Naunga mkono hoja 👍👏
Chilunda, loisWho is coming in?