FT: Simba SC 1-1 Namungo FC | NBC Premier League | Uhuru Stadium | 09.11.2023

FT: Simba SC 1-1 Namungo FC | NBC Premier League | Uhuru Stadium | 09.11.2023

Kwa sub hizi, matola kaiua timu, kama tukio goli ndio ya mungu mengi lakini sitarajii.

Mzamiru ni kiungo mgumu mnoo, unatoa chama ambae anaweza kuunga timu toka kwa mzamiru kwenda juu, unatia wings 2, konde boy na chilunda(ambae ni striker asilia)

Nina mashaka makubwa na uelewa wa soka wa makocha wetu.
Naunga mkono hoja 👍👏
 
Kwa sub hizi, matola kaiua timu, kama tukio goli ndio ya mungu mengi lakini sitarajii.

Mzamiru ni kiungo mgumu mnoo, unatoa chama ambae anaweza kuunga timu toka kwa mzamiru kwenda juu, unatia wings 2, konde boy na chilunda(ambae ni striker asilia)

Nina mashaka makubwa na uelewa wa soka wa makocha wetu.
Mkuu Saido na Chama hawapaswi kuendelea kutegemewa. Tunafeli sababu ya kuwakariri hawa.
 
Back
Top Bottom