Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
Mtani wetu wala usihofu hii game unashinda waz tuu..Sidhani kama hawa maungo wanaweza kukaza mpaka game uishe naona simba wamekuja kwa kasi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtani wetu wala usihofu hii game unashinda waz tuu..Sidhani kama hawa maungo wanaweza kukaza mpaka game uishe naona simba wamekuja kwa kasi sana
Usijali Mkuu. 🤝Tupo mpendwa
Yaan mwamb ndo umewasaidiaKolo amekoswa hapa [emoji16][emoji23][emoji23]
Mashabiki wa simba wanaihujumu timuSimba ana droo leo.
Sasa hata mashabiki wa simba tunawafukuza sio robertinho pekee
Tumelipokea tutalifanyia kazi....Saidoo pamoja na kutusaidia sana atafutiwe mbadala. Ni mfungaji mzuri ila ni mwepesi wa kukosea na kupoteza mpira na kusababisha move ya simba kushambuliwa. Awe anaingia sub dak ya 70,80.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Simba ana droo leo.
Sasa hata mashabiki wa simba tunawafukuza sio robertinho pekee
JamanGoooooooool Chuma cha 2 huko. Frank Domayo anaipatia Namungo bao la 2. 5imba 0 2 Namungo
KabisaYaan mwamb ndo umewasaidia
Wameshacharuka hawa, wamekosa utulivu wanatusaliti.Yani Namungo nae anajipigia mke wetu, hii sio haki hii