Mi nipo hata sikimbiiSimba wamekimbia uzi wameutelekeza wanasikilizia matokeo wakiwa chooni.
Saidoo na chama hawapaswi kucheza pamoja, kwa mira wa cha na kiungo cha simba, anahitajika mnoo, tizama chama akicheza anashuka chini anaunganisha timu anazunguruka pale kati kufunika kosa la kutokuwepo namba 8 mchezeshaji.Mkuu Saido na Chama hawapaswi kuendelea kutegemewa. Tunafeli sababu ya kuwakariri hawa.
Mmh!Namungo ashinde au simba asishinde
AahaaaHizi sura za makolo zinavyoonekana hapa uwanjani sio rafiki, jamani Wananchi kuweni makini na hawa watu huko mitaani. Msiseme hamkuambiwa.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]........Hizi sura za makolo zinavyoonekana hapa uwanjani sio rafiki, jamani Wananchi kuweni makini na hawa watu huko mitaani. Msiseme hamkuambiwa.
Huyo hapoTunqmuhitaji bocco
Tulia sindano ipenye kwenye saburiHuu ni usaliti
[emoji23][emoji23][emoji23]Mama yangu anaingia bocco.. [emoji23][emoji1787][emoji1787]
Tupe updates tafadhali...! Mnyama ametoneshwa kidonda ama ameletewa dawa ya kidonda?34' Bado mambo ni magumu kwa Simba
Hata hiyo droo hawapati labda wapigwe cha pili5imba njooon Mnatoa drooo hii mechi